FG PRODUCTION HEADER Animation

Wednesday, June 19, 2013

AMANI YETU

Habari wadau wa Fg blog Hali kama hii tumezoea kuona huko Syria na kwingineko duniani.Napenda kuchua fursa hii kuwaomba watanzania wote,
wale wanaoitakia mema na hata wasioitakia mema nchi yetu nzuri ya TanzaniaTuachieni Amani na Upendo wetu jamani.Amani tuliyonayo si kitu
cha kuchezea hata kidogo sisi sote ni watanzania.Fikiria mara mbili Amani hii ikitoweka.

No comments:

Post a Comment